Kwa Wakenya Wenzangu...


Wakenya nawaomba tia maanani ujumbe wa amani
Epukana na siasa za peni mbili, wacha wizi…. wacha vita
Tunapoilaki mwaka mpya, tujipe moyo kwa yaliyopangiwa siku zijazo
Nawatakia sikukuu njema yaliyojazwa na fanaka na baraka chungu nzima…








Comments

Popular posts from this blog

How to Write to a Brother

Chasing Light, Not Wind: A Journey of Lifelong Healing

Why We Must Remember Kenyan Heroes: Remembering SC Phiroze Nowrojee